WhatsApp Image 2024 10 25 at 17.18.30

Dkt. Kiruswa awataka wananchi Rukwa kuomba leseni za uchimbaji mdogo wa madini

Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa amewataka wananchi wa mkoa wa Rukwa kuchangamkia fursa zilizopo katika sekta ya madini kwa kuomba Leseni za Uchimbaji Mdogo ili waweze kushiriki kikamilifu katika uchumi wa madini. Dkt. Kiruswa ametoa wito huo leo, Oktoba 24, 2024 wakati akizungumza na wananchi wa Vijiji vya Zimba na Misheni vilivyoko katika…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 10 18 at 16.11.59 1

CBT kuwa chombo cha majadiliano baina ya wakulima na benki za kibiashara

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe (Mb) amesema Benki ya Ushirika Tanzania (CBT) itakuwa chombo muhimu cha majadiliano na makubaliano ya kibiashara kati ya wakulima na Benki za Kibiashara. Bashe amesema hayo Oktoba 17, 2024 katika Mkutano Mkuu wa Kwanza wa Wananchama wa Benki ya Ushirika Tanzania (CBT) uliofanyika jijini Dodoma. Waziri Bashe amesema CBT inaanza…

Soma Zaidi
Umekuwa ukifikiria jinsi ya kukuza biashara yako ndogo, lakini mtaji umekuwa kikwazo kikuu?

Wakopeshaji watakiwa kuwa na leseni

Ni ukweli usiopingika kuwa hali ngumu ya maisha, kukosekana kwa kipato cha uhakika kumesababisha wananchi wengi kuishi kwa kutegemea mikopo kutoka sehemu mbalimbali rasmi na zisizo rasmi. Ipo ile ambayo hutolewa na taasisi za fedha kama benki, vikundi vya kuwezeshana na mingine hutolewa na watu binafsi. Mikopo hii kwa namna moja ama nyingine imekuwa ikisababisha…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks