UDSM yatakiwa kuangalia ubora wa wanafunzi katika soko la ajira
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimetimiza miaka 60 tangu kuanzishwa kwake. UDSM imetakiwa kuangalia ubora wa wanafunzi wanaowatengeneza katika soko la ajira. Katika miaka 60 ya UDSM, ambapo pia kulikuwa na maadhimisho ya miaka 57 ya Ndaki ya Sayansi ya Jamii (College of Social Science CoSS) mada mbalimbali zilijadiliwa ambapo vijana wengi walionekana…
