Tsh bilioni 3.4 kujenga kiwanda cha kubangua korosho
Shilingi bilioni 3.4 zinatumika kujenga kiwanda cha kugangua korosho Newala mkoani Mtwara. Ujenzi wa kiwanda hicho ni matokeo ya kuwa na ushirika imara wa Chama Kikuu cha Ushirikia cha TANECU Ltd. Kiwanda hicho kimezinduliwa rasmi na Waziri wa Kilimo Hussein Bashe Oktoba 1, 2024 ambapo maelfu ya wakulima wameshuhudia kwa hamasa za uhakika wa soko…
