WhatsApp Image 2025 04 09 at 15.28.16

Mabalozi watakiwa kutangaza fursa za Tanzania

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amewasihi Mabalozi kuwaunganisha Watanzania wanaoishi katika nchi wanazowakilisha (Diaspora) ili waweze kuchangia maendeleo ya Taifa kupitia uwekezaji mbalimbali. Makamu wa Rais amesema hayo wakati alipokutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Tanzania nchini Sweden Balozi Mobhare Matinyi pamoja na Balozi wa Tanzania nchini…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2025 04 08 at 16.13.29

Rais Mwinyi: Zanzibar ina sera bora kwa uwekezaji

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar imepiga hatua kubwa ya maendeleo kipindi cha miaka minne kwa mageuzi katika sekta mbalimbali na kuimarika kwa mifumo  pamoja na kuanzisha sera bora kwa uwekezaji zinazolenga kuweka mazingira wezeshi kwa wawekezaji wa ndani na kimataifa. Rais Dkt. Mwinyi amesema hayo katika…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 04 04 at 11.25.48 AM

Waziri Mavunde azindua rasmi shughuli za uchimbaji madini Chunya

Waziri wa Madini Anthony Mavunde amezindua rasmi shughuli za uchimbaji madini katika mgodi wa Porcupine North- uliopo Makongorosi Wilayani Chunya Mkoa wa Mbeya. Mgodi huo unaomilikiwa na Kampuni ya Shanta Gold Mining Limited umezinduliwa Aprili 03, 2025. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi Waziri Mavunde amesema kuwa hatua hiyo ni matunda ya uamuzi wa Serikali kurudisha…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 04 02 at 12.53.30 PM

Taasisi za uhifadhi zatakiwa kulinda maeneo kwa teknolojia

Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi, Dkt. Pindi Chana amezitaka taasisi zilizo chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii zinazojishughulisha na masuala ya uhifadhi kuhakikisha zinaweka mikakati ya kulinda maeneo ya hifadhi kwa teknolojia. Ameyasema hayo Machi 29,2025 alipokuwa akizungumza na Menejimenti ya Hifadhi ya Taifa Arusha wakati wa ziara ya kikazi ambapo alikagua mradi…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 03 20 at 3.01.51 PM

Zanzibar yafungua dirisha la uwekezaji hati fungani inayofuata misingi dini ya Kiislamu

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imefungua dirisha la uwekezaji katika hati fungani inayofuata misingi ya dini ya Kiislamu, Zanzibar Sukuk, ambayo inalenga kusaidia utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo visiwani humo. Akizungumza baada ya kikao na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango Zanzibar, Dkt. Saada Mkuya, kilichofanyika katika ofisi za Benki Kuu…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks