WhatsApp Image 2024 02 19 at 10.42.04

Ukuaji kilimo kufika 10% ifikapo 2030

Serikali inaendelea na utekelezaji wa mipango na mikakati mbalimbali ya kuendeleza Sekta ya Kilimo nchini ikiwemo Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano (5), (FYDP III) na Ajenda 10/30 ambayo inalenga kuchochea ukuaji wa kilimo kufikia asimilia 10 ifikapo mwaka 2030. Naibu Waziri wa Kilimo, David Silinde amesema hayo Februari 16, 2024 bungeni jijini Dodoma. Amesema…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 02 12 at 16.39.49

Tanzania kuanzisha viwanda vya kutengeneza pikipiki

Serikali imesema inaendela kutekeleza mikakati mbalimbali ya kuhakikisha viwanda vingi vinaanzishwa nchini vikiwemo viwanda vya kutengeneza pikipiki. Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Exaud Kigahe ameitaja mikakati hiyo kuwa ni pamoja na kuweka mazingira bora ya biashara na uwekezaji na kujenga miundombinu wezeshi kwa ajili ya ujenzi wa viwanda hivyo. Kigahe ametoa kauli hiyo Bungeni…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 02 02 at 12.25.57

Harakisheni kusikiliza kesi za biashara: Rais Samia

Rais Samia Suluhu Hassan amezitaka mahakama nchini kuharakisha kusikiliza kesi za kibiashara. Rais Samia amesema hayo wakati akihutubia maadhimisho ya Siku ya Sheria yaliyofanyika kwenye viwanja vya Chinangali jijini Dodoma, Februari 01, 2023. Amesema ni vema mahakama ikatoa kipaumbele cha kuharakishwa usikilizwaji wa kesi za kibiashara katika masuala ya kisheria pindi inapotokea migogoro ili kuvutia…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 11 10 at 13.50.24

Korea Kusini yaahidi kuwekeza zaidi Tanzania

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Biashara kutoka nchini Korea Kusini Ahn Dukgeun ambapo  ameeleza kuwa nchi hizo zitaendelea kudumisha ushirikiano uliopo katika nyanja za kiuchumi na kijamii. Katika kikao hicho kilichofanyika jijini Dodoma, Dkt. Biteko alimuhakikishia Dukgeun ushirikiano kutoka Serikali ya Tanzania katika…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks