uta

Pato la utalii kupaa

Sekta ya utalii inatarajiwa kuchangia Pato la Taifa kwa 19.5% ifikakapo mwaka 2025/2026. Sekta hiyo inayokuwa kwa kasi nchini Tanzania imekuwa ikichangia Pato la Taifa kwa aslimia 17.5 na asilimia 30 ya fedha za kigeni. Makadirio ya wadau wa sekta hiyo yanaonesha kuwa mapato ya utalii yataongezeka kwa asilimia 6.2 kuanzia sasa hadi kufika mwaka…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2022 05 30 at 4.32.13 PM

TANAPA yapongezwa juhudi za kutangaza utalii

Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania(TANAPA) limepongezwa kwa juhudi kubwa inazofanya za kutangaza vivutio vya utalii. Pongezi hizo zimetolewa leo na Waziri wa viwanda, biashara na uwekezaji Dkt. Ashatu Kijaji alipotembelea banda la TANAPA wakati akifungua rasmi maonesho ya 9 ya biashara yanayofanyika jijini Tanga. Maonesho haya yanaendelea hadi tarehe 6/6/2022. Sekta mbalimbali, mashirika ya…

Soma Zaidi
Zanzibar

Royal tour Zanzibar

Rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi anatarajia kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa filamu inayoeleza utalii wa Tanzania ya Royal Tour. Filamu hiyo itazinduliwa Zanzibar Mei 07, 2022 jioni kwenye hotel ya Golden Tulip. Katibu Mkuu wizara ya Sanaa Dk. Hassan Abass “historia inaenda kuandikwa hapa Zanzibar, hii ndio Royal Tour ya kipekee duniani kushiriki viongozi…

Soma Zaidi
nnnnn

Mteja ni mfalme: Waziri wa utalii

Serikali ya Tanzania imesema itaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wawekezaji wa sekta ya utalii pamoja na kuendelea kuboresha  huduma za kitalii. Huduma hizo ni pamoja na upatikanaji wa leseni ya shughuli za utalii kwa uharaka zaidi na mifumo ya malazi. Waziri wa Maliasili na Utalii Dk Damas Ndumbaro amesema hayo jijini Dares Salaam wakati akikabidhi vyeti kwa…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2022 02 25 at 3.11.55 PM

Ngorongoro live Dubai

Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro inaonekana mubashara (live) kwenye maonesho ya utalii ya Exp2020 Dubai. Waziri wa Maliasili na Utallii, Dkt. Damas Ndumbaro amepongeza Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) kwa namna inavyotangaza vivutio vya Utalii kwa njia kidigitali kupitia Ngorongoro Live  Streaming  (Matangazo mubashara kutoka Ngorongoro). Amesema hali hiyo ya Ngorongoro Streaming Live kwenye…

Soma Zaidi
E51442C6 6686 4538 A1FA D837C5FF2EBC

Vivutio vya utalii Tanzania vyavutia Hispania

Katika Maonesho ya Utalii ya FITUR yanayoendelea nchini Hispania, vivutio vya utalii vinavyopatikana nchini  vimewavutia washiriki wengi. Kaimu Meneja wa Mikutano na Matukio wa Bodi ya Utalii (TTB) inayoratibu maonesho hayo kwa upande wa Tanzania Bi. Lily Fungamtama amesema kuwa wamepokea mawakala wengi wa utalii walioonyesha kuvutiwa na vivutio hivyo na kuweka miadi ya kuvitembelea…

Soma Zaidi
UTALII

Mapato utalii yaongezeka kwa 53%

Licha ya kuwepo kwa janga la Covid-19 ambalo limeathiri uchumi wa nchi nyingi duniani, mapato ya sekta ya utalii Tanzania yameongezeka kwa asilimia 53.7. Kwa mujibu wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), hadi kufikia November 30, 2021 mapato yameongezeka na kufikia dola za Marekani bilioni 1.32 kutoka dola milioni 861.8 mwaka 2020. Ongezeko hilo, limechangiwa…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks