Utafiti malikale chanzo cha mapato
Utafiti wa Sayansi ya Malikale nchini umekuwa ni moja ya chanzo cha mapato Serikalini na kwa mtu mmoja mmoja. Hii ni kutokana na makundi ya watafiti kutoka nchi mbalimbali ulimwenguni kuja Tanzania kutafiti kwenye maeneo yenye urithi adhimu wa kihistoria. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi wa Idara ya Malikale nchini Dkt. Christowaja Ntandu kwenye Bonde la…
