Screen Shot 2024 12 03 at 1.40.02 PM

Bilioni 32 zanufaisha miradi ya utafiti, ubunifu

Serikali imesema kuanzia mwaka 2021imetoka Shilingi bilioni 32 ambazo zimetumika kwenye miradi ya utafiti na ubunifu. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amemsema hayo Disemba 02, 2024 wakati akimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kufungua Kongamano la tisa la Sayansi, Teknolojia, Ubunifu na maonesho linaloendelea Jijini…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 11 18 at 15.58.40 1

Nchi zilizoendelea zakumbushwa kutoa ahadi ya Dola bilioni 500

Nchi zilizoendelea zimetakiwa kutimiza ahadi yao ya kutoa dola za marekani bilioni 500, sawa na dola bilioni 100 kila mwaka kwa ajili ya kuzisaidia nchi zinazoendelea kukabiliana na changamoto za mabadiliko ya tabianchi katika kipindi cha miaka mitano, kuanzia mwaka 2020 hadi mwaka 2025. Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba amesema hayo wakati akichangia hoja…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 12 22 at 14.15.15

Sheria ya majengo muarobaini wa gharama za ujenzi nchini

Imeelezwa kuwa kukosekana na sheria moja inayosimamia shughuli za ujenzi wa majengo imekuwa chanzo cha kusababisha gharama kubwa za ujenzi nchini. Mhandisi Ujenzi wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC), Geofrey Mwakasenga, amesema katika kukabiliana na hali hiyo tayari baraza hilo limekamilisha mchakato wa kuandaa andiko linaloainisha umuhimu wa Sekta ya Ujenzi na hivyo kuwezesha…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2022 02 04 at 2.36.32 PM

Waziri ataja sababu daraja la Tanzanite kutumika bure

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amesema daraja la Tanzanite Watanzania hawalipi na hawatalipa kwa sababu limejengwa kwa 100% kwa pesa ya serikali. Waziri Mbarawa amebainisha kuwa fedha hizo ni mkopo wa masharti nafuu kutoka Korea Kusini ambazo zitalipwa na Serikali ya Tanzania kwa asilimia zote. “Daraja la Kigamboni utaratibu uliotumika ni tofauti,…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks