Kliniki elimu ya fedha kipindi cha mavuno kwa wakulima yahitajika
Katika kuwasaidia wakulima kwenye matumizi ya fedha hasa wakati wa mavuno, Serikali kupitia Wizara ya Fedha kwa kushirikiana na Taasisi za kifedha ikiwemo Benki Kuu, Taasisi za Uwekezaji na Bima zimeshauriwa kuanzisha kliniki ya elimu ya fedha kwa wakulima katika maeneo yao ya uzalishaji. Ushauri huo umetolewa na Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya…
