WhatsApp Image 2023 10 11 at 16.01.32 1

Rais Samia akaribisha wawekezaji wa India

Rais Samia Suluhu Hassan amewakaribisha wawekezaji wa India kuja kuwekeza Tanzania akiahidi mazingira rafiki ya biashara na maendeleo ya uchumi. Mkuu huyo wa nchi, ameyasema hayo New Delhi wakati akizungumza na wawekezaji katika jukwaa la biashara na uwekezaji la Tanzania-India katika ziara yake ya siku tatu nchini India. Rais Samia amesema Tanzania inatekeleza maendeleo na…

Soma Zaidi
sawawa

Bei ya dizeli yazidi kupaa Tanzania

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), imetangaza bei mpya za mafuta zitakazoanza kutumika Oktoba 4, 2023 huku bei ya dizeli ikizidi kupaa ikilinganishwa na mwezi Septemba. Taarifa ya Ewura inasema kwa mkoa wa Dar es Salaam lita ya petrol kwa bei ya rejareja ni Sh3,281, dizeli Sh3,448 na mafuta ya taa…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 08 22 at 12.20.02

Tanzania, Indonesia zasaini mikataba saba

Serikali ya Tanzania imeridhia uamuzi wa Serikali ya Indonesia kufufua shughuli za Kituo cha Mafunzo ya Kilimo kwa Wakulima (FARTC) kilichopo Mkindo mkoani Morogoro. Rais Samia Suluhu Hassan amesema hayo wakati akizungumza na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Indonesia Joko Widodo aliyepo nchini kwa ziara ya kikazi. Rais Samia amesema kituo hicho kilianzishwa mwaka…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks