Wafanyabiashara wa mbao, karafuu kuunganishwa India
Wafanyabiashara wa mbao, karafuu na mazao ya mikunde nchini wameunganishwa na soko la India ili kuuza bidhaa hizo. Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) imeratibu kikao baina ya Nayan Patel ambae ni Mwakiishi wa Heshima wa Tanzania Mumbai- India na wafanyabiashara hao. Taarifa ya TanTrade inasema kwa lengo la kikao hicho ni kuwaunganisha wazalishaji…
