Screen Shot 2025 03 06 at 5.10.40 PM

Rais Dkt. Mwinyi ahimiza wanawake kugombea nafasi za uongozi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi amewahimiza wanawake kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi za uongozi muda utakapowadia. Rais Dkt. Mwinyi ametoa rai hiyo Machi 06, 2025 katika Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliofanyika Viwanja vya Maonesho Dimani, Mkoa wa Mjini Magharibi. Rais Dkt. Mwinyi amesema Serikali ya…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 03 12 at 15.29.16

Wizara kushirikiana kuwezesha wanawake kiuchumi

Wizara ya Maliasili na Utalii kwa kushirikiana na Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu zimepanga kushirikiana kimkakati ili kuwawezesha wanawake kiuchumi kupitia fursa mbalimbali zinazopatika kwenye sekta ya Maliasili na Utalii. Kauli hiyo imetolewa Machi 9, 2024 na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima…

Soma Zaidi
huss

Tutafanya yote yanayowezekana kusaidia wanawake: Rais Mwinyi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Hussein Mwinyi amesema serikali yake itafanya kila linalowezekana katika kuwasaidia wanawake kwenye nyanja mbalimbali ikiwemo uchumi, uongozi wa kisiasa na uongozi katika utendaji. Akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Wanzawake Duniani Machi 8, 2022 yanayofanyika kitaifa Zanzibar, Rais Mwinyi amesema “tutaongeza idadi ya viongozi katika serikali”….

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks