Kampuni za Ericsson, Siemens za sweden kuongeza uwekezaji Tanzania pesatu.com

Kampuni za Ericsson, Siemens za sweden kuongeza uwekezaji Tanzania

Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mobhare Matinyi, amefanya ziara katika makao makuu ya kampuni za Ericsson na Siemens Energy za Sweden kujadiliana kuhusu kuongeza uwekezaji na kuendelea kuleta teknolojia zao nchini. Balozi Matinyi aliitembelea kampuni ya Ericsson Septemba 02, 2025, jijini Stockholm na kuzungumza na viongozi na wataalam wao wakiongozwa na Mkurugenzi wa Sera za…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks