Kampuni za utalii zifanye haya kuvutia wateja
Utalii ni moja ya sekta yenye mchango mkubwa katika uchumi wa Tanzania. Kupitia sekta hii watanzania na raia kutoka nje ya nchi wamenufaika kwa kuanzisha biashara mbalimbali zinazohusiana na masuala ya utalii. Moja ya biashara ambayo inashika kasi ni kuandaa safari kwa ajili ya watalii kwenda kutembelea maeneo mbalimbali nchini. Kampuni zinazojihusisha na uandaaji wa…
