WhatsApp Image 2024 02 19 at 10.42.04

Ukuaji kilimo kufika 10% ifikapo 2030

Serikali inaendelea na utekelezaji wa mipango na mikakati mbalimbali ya kuendeleza Sekta ya Kilimo nchini ikiwemo Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano (5), (FYDP III) na Ajenda 10/30 ambayo inalenga kuchochea ukuaji wa kilimo kufikia asimilia 10 ifikapo mwaka 2030. Naibu Waziri wa Kilimo, David Silinde amesema hayo Februari 16, 2024 bungeni jijini Dodoma. Amesema…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks