WhatsApp Image 2024 11 18 at 15.58.40 1

Nchi zilizoendelea zakumbushwa kutoa ahadi ya Dola bilioni 500

Nchi zilizoendelea zimetakiwa kutimiza ahadi yao ya kutoa dola za marekani bilioni 500, sawa na dola bilioni 100 kila mwaka kwa ajili ya kuzisaidia nchi zinazoendelea kukabiliana na changamoto za mabadiliko ya tabianchi katika kipindi cha miaka mitano, kuanzia mwaka 2020 hadi mwaka 2025. Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba amesema hayo wakati akichangia hoja…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 11 24 at 12.58.13

Afrika tujitegemee kifedha mabadiliko tabia ya nchi: Rais Samia

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema ni muda muafaka kwa Afrika kujitegemea katika fedha za kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi. Rais Samia amesema hayo katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) unaojadili Masuala ya Tabianchi na Usalama wa Chakula Mkoani Arusha ulioandaliwa na Jumuiya ya Afrika Mashariki….

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks