swe

Mbunge alia na mikopo kausha damu

Mbunge wa viti maalum Mwantumu Zodo ametaka kufahamu ni lini Serikali itarejesha mikopo ya asilimia 10 ya halmashauri ambayo imesitishwa kwa muda mrefu. Akizungumza Bungeni jijini Dodoma Februari 02, 2023 amehoji “kwa kuwa wakina mama bado wanahangaika na mikopo ya kausha damu mitaani, je ni lini sasa serikali itaanza tena zoezi hili la utoaji mikopo…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 02 02 at 12.25.57

Harakisheni kusikiliza kesi za biashara: Rais Samia

Rais Samia Suluhu Hassan amezitaka mahakama nchini kuharakisha kusikiliza kesi za kibiashara. Rais Samia amesema hayo wakati akihutubia maadhimisho ya Siku ya Sheria yaliyofanyika kwenye viwanja vya Chinangali jijini Dodoma, Februari 01, 2023. Amesema ni vema mahakama ikatoa kipaumbele cha kuharakishwa usikilizwaji wa kesi za kibiashara katika masuala ya kisheria pindi inapotokea migogoro ili kuvutia…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 01 18 at 12.54.43 1

Halmashauri ya Mji wa Mbinga yachekelea fedha za Rais Samia miradi mbalimbali

Halmashauri ya Mji wa Mbinga imepokea jumla ya Shilingi bilioni 11.974 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Mbinga Amina Seif amesema hivi karibuni kiasi hicho kilitumika kutekeleza miradi mbalimbali kwenye sekta za Elimu,  Afya, Maendeleo ya jamii, Kilimo, Utawala, Biashara na Mifugo. Ameeleza kuwa fedha hizo…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 11 24 at 12.58.13

Afrika tujitegemee kifedha mabadiliko tabia ya nchi: Rais Samia

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema ni muda muafaka kwa Afrika kujitegemea katika fedha za kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi. Rais Samia amesema hayo katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) unaojadili Masuala ya Tabianchi na Usalama wa Chakula Mkoani Arusha ulioandaliwa na Jumuiya ya Afrika Mashariki….

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 10 09 at 11.36.31

Vijana 20 wapata ufadhili wa Rais Samia

Chuo cha Utalii kimepongezwa kwa kupokea vijana 20 kwa ajili ya kusomea masuala ya Utalii na ukarimu kupitia ufadhili wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Pongezi hizo zimetolewa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Mashaka Biteko wakati akifungua Kongamano la uwekezaji la Wilaya ya Pangani katika Ukumbi wa Mlimani City Jijini…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks