Screen Shot 2025 03 06 at 5.10.40 PM

Rais Dkt. Mwinyi ahimiza wanawake kugombea nafasi za uongozi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi amewahimiza wanawake kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi za uongozi muda utakapowadia. Rais Dkt. Mwinyi ametoa rai hiyo Machi 06, 2025 katika Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliofanyika Viwanja vya Maonesho Dimani, Mkoa wa Mjini Magharibi. Rais Dkt. Mwinyi amesema Serikali ya…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 02 13 at 14.41.28

Watanzania watakiwa kumuenzi Lowassa kwa uzalendo na uwajibikaji

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema namna bora ya kumuenzi Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Edward Ngoyai Lowassa ni kuendelea kuyaishi maono yake ya uzalendo, uwajibikaji ili iwe dira ya kuzidi kujenga umoja na kupiga hatua za maendeleo nchini. Rais Dk. Mwinyi amesema hayo wakati akitoa salamu za pole…

Soma Zaidi
mwinyi

Kipaumbele cha kwanza ni kujenga miundombinu: Rais Mwinyi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi amesema matarajio yake kwa sasa ni kujenga miundombinu kwanza. Akihutubia katika maadhimisho ya miaka miwili ya kuiongoza Zanzibar, Rais Mwinyi amesema “kipaumbele cha kwanza katika miaka miwili ijayo ni kujenga miundombinu mikubwa, miundombinu ya barabara kuu katika nchi yetu. Miundombinu ya bandari…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks