WhatsApp Image 2025 04 09 at 15.28.16

Mabalozi watakiwa kutangaza fursa za Tanzania

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amewasihi Mabalozi kuwaunganisha Watanzania wanaoishi katika nchi wanazowakilisha (Diaspora) ili waweze kuchangia maendeleo ya Taifa kupitia uwekezaji mbalimbali. Makamu wa Rais amesema hayo wakati alipokutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Tanzania nchini Sweden Balozi Mobhare Matinyi pamoja na Balozi wa Tanzania nchini…

Soma Zaidi
eee 1

Tanzania, Msumbiji kujadili biashara, uwekezaji

Tanzania na Msumbiji wanatarajiwa kushiriki mazungumzo ya pamoja ambayo yatajikita katika sekta ya biashara, uwekezaji, ulinzi na usalama. Mazungumzo hayo yanatarajiwa kufanyika Julai 02, 2024 ambapo Rais wa Msumbiji Filipe Jacinto Nyusi atafanya ziara ya Kiserikali ya siku tatu na kupokelewa na mwenyeji wake Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Rais Samia na Rais Nyusi,…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks