Screen Shot 2025 04 29 at 3.14.08 PM

Afrika yaaswa kuimarisha ukusanyaji rasilimali za ndani kukabili misaada inayopungua

Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Sauda Msemo, amezitaka serikali za Afrika, Kusini mwa Jangwa la Sahara kuimarisha ukusanyaji wa rasilimali za ndani ili kupunguza utegemezi mkubwa kwa misaada ya kigeni inayopungua. Akizungumza Aprili 28, 2025 katika mjadala ulioandaliwa na Shirika la Fedha Duniani (IMF) jijini Dar es Salaam, wakati wa uzinduzi wa…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 04 25 at 11.18.47 AM

Afrika yashauriwa kuweka mikakati kukabiliana na mabadiliko ya sera za kiuchumi

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba amezishauri nchi za Afrika kuweka mikakati ya kufanya uwekezaji na biashara ndani ya Bara la Afrika ili kukabiliana na changamoto za mabadiliko ya sera za kiuchumi zinazojitokeza hivi sasa duniani. Dkt. Nchemba ametoa ushauri huo jijini Washington D.C, nchini Marekani wakati akichangia taarifa ya Mwaka ya utekelezaji ya majukumu…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 04 23 at 11.00.59 AM

Dkt. Mwigulu: Tanzania imejipanga kukabiliana na mabadiliko Sera za Marekani

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Tanzania imejipanga kukabiliana na mabadiliko ya sera za nje za Marekani kuhusu misaada kwa nchi za Afrika kwa kutumia rasilimali zake ndani kupitia Bajeti Kuu ya Serikali. Dkt. Nchemba amesema hayo alipokutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Kundi la Kwanza la Nchi za Afrika wa…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 10 09 at 11.52.05

Dola 1000 kwa vijana kukabiliana na mabadiliko tabia nchi

Vijana wapatao 10 kutoka mataifa mbalimbali duniani watapatiwa kiasi cha Dola za Kimarekani 1000 kwa ajili ya kuendeleza miradi ya kukabiliana na mabadiliko ya Tabia Nchi. Haya yamebainika wakati Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Dunstan Kitandula akihitimisha kongamano la Kimataifa la vijana kuhusu Mabadiliko ya Tabia nchi katika chuo Kikuu cha Dar es salaam….

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 07 12 at 14.03.46

Tz kuwasilisha Utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu 2030

Tanzania inatarajia kuwasilisha Taarifa ya Mapitio ya Hiari ya Nchi ya Utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu 2030, katika Jukwaa la Juu la Siasa la Umoja wa Mataifa. Taarifa hiyo itawasilishwa Julai 18, 2023, wakati wa mikutano ya Jukwaa hilo inayoendelea, Jijini New York, Marekani. Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2022 12 16 at 12.08.24 PM

Rais Samia azindua mwongozo fursa za biashara Marekani

Katika kuendelea kukuza biashara na kutangaza biashara kimataifa, Rais Samia Suluhu Hassan amezindua mwongozo wa fursa za biashara na uwekezaji wakati wa Mkutano na Wanachama wa Chemba ya Biashara ya Marekani. Mkutano huo, umefanyika Washington DC nchini Marekani. Mwongozo huo uliandaliwa na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) kwa kushirikiana na Chemba ya Biashara…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2022 12 13 at 2.22.15 PM

Rais Samia aridhia Tanzania kuwa mwenyeji mkutano wa kilimo

Tanzania itakuwa mwenyeji wa mkutano wa kilimo utakaohusisha viongozi, watu mashuhuri na wadau takribani 3,000 kutoka sehemu mbalimbali duniani. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus, Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia mkutano huo kufanyika nchini Tanzania mwaka 2023. Taarifa hiyo inabainisha kwamba aliyekuwa Waziri Mkuu wa Ethiopia, Hailemariam…

Soma Zaidi
uuu

Marekani, Kenya zaongoza utalii Tanzania

Marekani na Kenya zimetajwa kuwa ndio nchi zinazoongoza kwa watalii wanaotembelea Tanzania. Utalii wa Tanzania umeanza kuongezeka ambapo takwimu zinaonyesha kuwa kuanzia Januari mpaka Julai mwaka huu Tanzania imepata watalii 742,133 sawa na ongezeko la asilimia 62.7 ikilinganishwa na kipindi kama hicho mwaka jana ambapo kulikuwa na watalii 456,266. Kati ya watalii 742,133 walioingia nchini,…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks