WhatsApp Image 2022 12 15 at 3.56.00 PM

Malighafi changamoto viwanda Zanzibar

Ukosefu wa malighafi umetajwa kuwa moja ya changamoto katika utengenezaji wa bidhaa za nguo kwenye Viwanda vya Idara Maalum (SMZ) Zanzibar. Viwand hivyo, hulazimika kuagiza vitambaa kwa ajili ya kushona nguo mbalimbali zinazotengenezwa kiwandani hapo nchini China. Afisa habari wa Viwanda hivyo ambavyo kwa sasa vina jina la MARASHI anasema malighafi hizo ni moja ya…

Soma Zaidi
nbc

Wanawake 200 wapata mafunzo ya biashara

Takribani wanawake 200 wamepata mafunzo ya biashara yaliyolenga kuwajengea uwezo. Mafunzo hayo yametolewa  na benki ya NBC kwa wafanyabiashara katika kipindi cha maonesho ya Viwanda kwa Wanawake wajasiriamali kwa mwaka 2022. Neema Rose Singo amabae ni Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa NBC amesema “tumetoa mafunzo kwa wanawake wafanyabiashara takribani 200, na tunaamini mafunzo haya…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks