Bei petrol, dizeli zashuka Tanzania pesatu.com

Bei ya mafuta yaongezeka mwezi Februari

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya Petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia leo Jumatano Februari 05, 2025 kwa rejareja na jumla. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, bei ya petroli kwa rejareja katika Jiji la Dar es Salaam imeongezeka kwa asilimia 0.957, dizeli kwa asilimia…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 01 07 at 12.29.20 PM

Tanzania kushirikiana na Italia kuendeleza sekta ya madini

Waziri wa Madini Anthony Mavunde amesema kuwa Serikali itaendelea kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia na Italia katika kuendeleza sekta ya madini nchini hususani katika teknolojia na mitambo. Ameyasema hayo Januari 06, 2025 alipokutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Italia nchini Tanzania, Giuseppe Coppola katika ofisi ndogo za Wizara ya Madini Jijini Dar es Salaam. “Rais…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 11 19 at 16.33.01 1

Tanzania, Uturuki kushirikiana kukuza utalii

Serikali ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania na Uturuki zimekubaliana kushirikiana kukuza Sekta ya Maliasili na Utalii lengo ikiwa ni kuongeza idadi ya watalii wanaotembelea nchi hizo mbili. Hayo yameelezwa Novemba 19,2024 wakati wa kikao kati ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Dkt. Pindi Chana na Balozi wa Uturuki nchini Tanzania, Dkt. Mehmet Gulluoglu…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks