Makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla.

Jinsi Zanzibar ilivyotekeleza ilani ya CCM kiuchumi, elimu

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar chini ya Rais Dkt. Hussein Ali Mwinyi imewasilisha jinsi ilivyotekeleza ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya 2020/2025 katika nyanja mbalimbali ikiwemo kiuchumi, elimu, afya, uwekezaji na miundombinu. Hii ni katika kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu. Akiwasilisha utekelezaji wa Ilani hiyo jijini Dodoma, Makamu wa pili wa…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks