Jinsi Zanzibar ilivyotekeleza ilani ya CCM kiuchumi, elimu
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar chini ya Rais Dkt. Hussein Ali Mwinyi imewasilisha jinsi ilivyotekeleza ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya 2020/2025 katika nyanja mbalimbali ikiwemo kiuchumi, elimu, afya, uwekezaji na miundombinu. Hii ni katika kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu. Akiwasilisha utekelezaji wa Ilani hiyo jijini Dodoma, Makamu wa pili wa…
