Umuhimu wa kuwa na kipato cha halali
Watu wengi hasa vijana wanaona kipato cha halali hakitoshi kukidhi mahitaji ya kila siku. Juma alifuta jasho la uso wake, jua kali la mchana likiwaka akiwa katika eneo kituo cha ujenzi Ubungo. Alishuhudia gari zuri, nyeupe ya aina ya Toyota RAV4 kama ile anayoiona kwenye video za muziki ikikaribia na kusimama karibu nae. Kwa mshangao…
