Tanzania kunufaika na teknolojia kuzalisha mbolea kutoka Cuba
Katika kuendeleza sekta ya kilimo nchini, Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC) limesaini mikataba miwili ya ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba ili kuzalisha mbolea hai. Hafla hiyo imefanyika Mei 04, 2025 jijini Dar es Salaam ambapo mbolea hiyo itayosambazwa na Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC) na kuimarisha teknolojia ya kisasa. Tukio hilo…
