Tsh. bilioni 117 zatolewa fidia kwa wakulima zao la tumbaku
Shilingi Bilioni 117 zimetolewa katika benki ya NMB ikiwa ni fidia kwa wakulima wa zao la Tumbaku Mkoa wa Tabora. Akikabidhi hundi hiyo kwa wakulima akiwa Makao Makuu ya Benki ya NMB, jijini Dar es Salaam Novemba 13, 2024 Waziri wa Kilimo Hussein Bashe ameipongeza Benki hiyo kwa kuendelea kushirikiana na wakulima nchini katika kuinua…
