Screen Shot 2025 02 20 at 11.58.50 AM

Kuweka akiba iwe lazima kila unapopata fedha

Wananchi wametakiwa kubainisha matumizi yasiyo ya lazima na kuyaondoa na kufanya kuweka akiba kuwa ni sehemu ya  lazima kila wanapopata fedha. Aidha, Afisa Mwandamizi Masoko na Mawasiliano kutoka Kampuni ya Uwekezaji ya UTT AMIS, ametoa wito kwenye semina zinatolewa na Wizara ya Fedha kupitia Idara ya Uendelezaji wa Sekta ya Fedha ilifanyika katika Ukumbi wa…

Soma Zaidi
sawaaaa

Uharibifu wa miundombinu wasitisha safari za treni Tanzania

Uharibifu wa miundombinu ya reli umesababisha Shirika la Reli Tanzania (TRC) kusitisha huduma za safari za treni kwa muda kutoka Dar es Salaam kuelekea mikoa mbalimbali. Taarifa iliyotolewa na TRC Januari 17, 2024 imetaja maeneo yaliyoharibiwa na mvua kuwa ni Mazimbu, Kilosa na Munisagara mkoani Morogoro, Godegode na Gulwe (Dodoma), Ruvu Junction, Wami, Mvave mkoani…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 08 18 at 11.45.58

Halmashauri 31 zapatiwa vifaa vya kupima afya ya udongo

Jumla ya Halmashauri 31 zimepatiwa vifaa vya kupima afya ya udongo kwa wakulima (Soil Scanner). Vifaa vilivyogaiwa ni soil scanner, vishikwambi, printer, lamination machine pamoja na seti ya kompyuta katika Halmashauri za mikoa ya Kilimanjaro, Arusha, Manyara, Dodoma, Singida na Tabora. Akizungumza wakati wa ugawaji wa vifaa hivyo, mwakilishi kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI, Dkt….

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks