Bei ya kakao yafika 8,079 kutoka 4,611 mwaka 2018/19
Bei ya zao la kakao imeongezeka kutoka Sh Sh 4,611 kwa mwaka wa fedha 2018/2019 hadi kufikia Sh 8,079 Oktoba kwa mwaka wa fedha 2023/2024. Naibu Waziri wa Kilimo David Silinde ameeleza kupanda kwa bei ya zao hilo Novemba 7, 2023 Bungeni Dodoma wakati akijibu swali la Mbunge wa Kyela Ally Jumbe Mlaghila kuhusu mfumo…
