Screen Shot 2025 02 17 at 10.33.23 AM

Naibu Waziri Dkt. Biteko anadi soko la mazao jamii ya mikunde India

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amesema Serikali ya Tanzania imejidhatiti kuboresha na kuimarisha sekta ya kilimo kwa kuja na mipango kadhaa yenye lengo la kuongeza fursa kwa wakulima nchini. Dkt. Biteko amesema hayo jijini New Delhi, India  wakati akishiriki mkutano kuhusu masuala ya mazao jamii ya mikunde. “Tunaongeza uwekezaji katika…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 02 17 at 10.51.07 AM

Tanzania yatumia wiki ya nishati India kunadi vitalu vya mafuta na gesi asilia

Serikali kupitia Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli Tanzania (PURA) imeendelea  kuhamasisha wawekezaji mbalimbali duniani kushiriki katika Duru ya Tano ya Kunadi Vitalu vya utafutaji wa Mafuta na Gesi Asilia katika Bahari Kuu ya Hindi na Nchi Kavu itakayozinduliwa mwezi Machi, 2025. Matangazo ya fursa za uwekezaji kwenye Sekta ya Mafuta na Gesi…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 10 11 at 16.01.32 1

Rais Samia akaribisha wawekezaji wa India

Rais Samia Suluhu Hassan amewakaribisha wawekezaji wa India kuja kuwekeza Tanzania akiahidi mazingira rafiki ya biashara na maendeleo ya uchumi. Mkuu huyo wa nchi, ameyasema hayo New Delhi wakati akizungumza na wawekezaji katika jukwaa la biashara na uwekezaji la Tanzania-India katika ziara yake ya siku tatu nchini India. Rais Samia amesema Tanzania inatekeleza maendeleo na…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 08 14 at 13.04.20

Maonesho ya chakula ya nchi za Asia kuunganishwa na nanenane

Serikali imewaalika waandaji wa Mkutano na Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo na Chakula (International Agri Food Conference and Exhibition) kujadiliana namna ya kurasimisha shughuli hizo ili ziendane na maonesho ya Kimataifa ya Kilimo Nanenane yanayofanyika nchini kila mwaka. Waziri wa Kilimo Hussein Bashe ameyasema hayo Agosti 2023, wakati wa ufunguzi rasmi wa maonesho hayo, jijini…

Soma Zaidi
mmm

Mbaazi za Tanzania zaondolewa ushuru India

Serikali ya India imeruhusu Tanzania kuingiza kiasi cha tani laki mbili (200,000) za mbaazi bila ushuru wa forodha (Free Import Regime) kuanzia sasa hadi Machi 2024. Taarifa ya Wizara ya Kilimo imewahimiza wadau wa kilimo wenye nia ya kuuza mbaazi nchini India kuzingatia viwango vya ubora viavyohitajika katika soko la India. “Mbaazi zitakazosafirishwa kwenda India…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks