HISA 1

SOKO LA HISA LAFUNGUA MILANGO YA MITAJI KWA WAFANYABIASHARA

KATIKA mazingira ya sasa ya uchumi unaokua na ushindani mkubwa wa kibiashara, soko la hisa limeendelea kuwa nguzo muhimu katika kukuza na kuimarisha shughuli za wafanyabiashara. Soko hili limekuwa si tu chanzo cha mitaji, bali pia nyenzo ya uwazi, uaminifu na ukuaji endelevu wa biashara. Chanzo Muhimu cha Mtaji Kwa wafanyabiashara, hususan wanaomiliki kampuni za…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 04 25 at 1.59.37 PM

Kutofahamu thamani ya uwekezaji changamoto kampuni kutoorodheshwa Soko la Hisa DSM

Serikali imesema kuwa Kampuni ambazo hazijaorodheshwa katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) hukutana na changamoto za kutofahamu thamani halisi ya uwekezaji kutokana na kukosekana kwa ukwasi wa hisa zao. Hayo yalisemwa bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Hassan Chande  wakati akijibu swali la Mbunge wa Geita Mjini, Constantine John…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks