Zanzibar yafungua dirisha la uwekezaji hati fungani inayofuata misingi dini ya Kiislamu
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imefungua dirisha la uwekezaji katika hati fungani inayofuata misingi ya dini ya Kiislamu, Zanzibar Sukuk, ambayo inalenga kusaidia utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo visiwani humo. Akizungumza baada ya kikao na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango Zanzibar, Dkt. Saada Mkuya, kilichofanyika katika ofisi za Benki Kuu…
