WhatsApp Image 2024 08 01 at 15.52.51

Tanzania inahitaji dola za Marekani bilioni 6.3 kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa

Tanzania inahitaji dola za Marekani bilioni 6.3 kwa mwaka ili kukabiliana na athari za papo kwa hapo zinazotokana na mabadiliko ya hali ya hewa. Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema hayo wakati akizindua rasmi Ripoti ya Mapitio ya Hali ya Mwenendo wa Uchumi wa Tanzania kwa mwaka 2024, iliyoandaliwa na Benki ya Maendeleo ya…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks