Rais Mwinyi afungua mkutano Benki ya Dunia
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema Tanzania imeweka kipaumbele kuongeza uwekezaji katika elimu, afya, na huduma nyingine za kijamii pamoja na kilimo kinachozingatia hali ya hewa na mazingira. Rais Dkt. Mwinyi ameyasema hayo Desemba 06, 2023 akimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu…
