Hatifungani ya kijani yavuka lengo
Hatifungani ya kijani ya benki ya CRDB imevuka lengo lililokusudiwa la shilingi bilioni 40 kwa asilimia 329.55 ikiwa ni awamu ya kwanza ya uuzwaji. Benki ya CRDB imetangaza rasmi matokeo ya hatifungani hiyo iliyouzwa kwa siku 38 kuanzia Agosti 31, 2023. Mgeni Rasmi katika hafla hiyo alikua ni Dkt. Charles Mwamwaja, Kamishna wa Idara ya…
