Tanzania, Kenya kufanya mazungumzo kesho juu ya katazo la biashara pesatu.co.tz

Tanzania, Kenya kufanya mazungumzo kesho juu ya katazo la biashara

Nchi za Tanzania na Kenya zinatarajia kufanya mazungumzo juu ya katazo la biashara ndogo ndogo lililowekwa na Tanzania kwa wafanyabiashara wa kigeni. Katibu wa Baraza la Mawaziri, Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) Beatrice Askul aliiambia Kamati ya Bunge ya Ulinzi, Ujasusi na Mambo ya Nje Bunge kuwa kikosi cha wataalamu kipo Tanzania kujadiliana kuhusu kuondolewa kwa katazo hilo….

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 11 24 at 12.58.13

Afrika tujitegemee kifedha mabadiliko tabia ya nchi: Rais Samia

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema ni muda muafaka kwa Afrika kujitegemea katika fedha za kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi. Rais Samia amesema hayo katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) unaojadili Masuala ya Tabianchi na Usalama wa Chakula Mkoani Arusha ulioandaliwa na Jumuiya ya Afrika Mashariki….

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks