Wawekezaji wadau wakubwa ustawi wa uchumi: NHC
Wawekezaji wametajwa kuwa moja ya wadau muhimu kwa ustawi bora wa uchumi wa Tanzania na kufungua fursa za ajira kwa Watanzania. Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemiah Mchechu amebainisha hayo Agosti 11 jijini Dar es Salaam katika Jukwaa la Wafanyabiashara wa Afrika Kusini waliopo hapa nchini. Kupitia jukwaa hilo, wafanyabiashara wameonesha…
