sawaaaa

Uharibifu wa miundombinu wasitisha safari za treni Tanzania

Uharibifu wa miundombinu ya reli umesababisha Shirika la Reli Tanzania (TRC) kusitisha huduma za safari za treni kwa muda kutoka Dar es Salaam kuelekea mikoa mbalimbali. Taarifa iliyotolewa na TRC Januari 17, 2024 imetaja maeneo yaliyoharibiwa na mvua kuwa ni Mazimbu, Kilosa na Munisagara mkoani Morogoro, Godegode na Gulwe (Dodoma), Ruvu Junction, Wami, Mvave mkoani…

Soma Zaidi
weweee

Ndege 4 kuwasili ifikapo 2024

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa amesema ndege nne zinatarajiwa kuwasili nchini ifikapo Februari, 2024. Prof Mbarawa amesema hayo wakati akiwasilisha Bungeni Makadirio ya mapato na matumizi ya Fedha kwa mwaka wa fedha 2023/2024 ya Wizara hiyo. “Miongoni mwa maeneo muhimu ambayo Serikali imeendelea kutekeleza katika uimarishaji wa ATCL ni pamoja na kuendelea…

Soma Zaidi
sss

Msitoroshe madini: Rais Samia

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewataka wachimbaji wadogo wawe wazalendo kwa kuacha kutorosha madini. Rais Samia amesema hayo wakati wa utiaji saini kati ya serikali na kampuni tatu za madini kutoka Australia Chamwino Dodoma April 17, 2023. “Niwaombe sana wachimbaji wadogo sasa ule utoroshaji hebu tuwe wazalendo zaidi. Tuna viwanda ndani vya kuchakata madini,…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks