Hekari 1,340 zatolewa kwa vijana wa BBT
Jumla ya vijana 268 wanatarajiwa kunufaika na programu ya Jenga Kesho iliyo Bora (Build a Better Tomorrow- BBT) baada ya kupewa vitendea kazi pamoja na barua zinazoonesha umiliki wa mashamba yenye hekari 1,340 kwa ajili ya shughuli za kilimo katika mashamba ya Chinangali, Mkoani Dodoma. Hafla ya makabidhiano hayo imefanyika Januari 22, 2024 na kuhudhuriwa…
