Hatua za kufuata ili kufanikiwa kifedha
Ili kufanikiwa kifedha unahitaji kuwa na nidhamu ya fedha, mipango na juhudi endelevu juu ya fedha zako. Hizi ni hatua muhimu zitakazokuwezesha kuwa imara kiuchumi: Hatua ya kwanza ni kufanya tathmini hali yako ya kifedha ya sasa Fuatilia mapato na matumizi yako, hapa unaweza kutumia program kama Mint, YNAB, au jedwali rahisi (spreadsheet). Nyingine ni kuorodhesha madeni…
