Wananchi Mara kupewa mafunzo elimu ya fedha
Serikali imewataka Wananchi wa Wilaya ya Butiama, mkoani Mara, kujitokeza kwa wingi kushiriki katika mafunzo ya elimu ya fedha ili kujiongezea maarifa yatakayowasaidia kusimamia vizuri rasilimali zao. Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Butiama, mkoani Mara, Moses Kaegele, alipokutana na Timu ya Wataalamu kutoka Wizara ya Fedha na Taasisi zake, ambayo ipo mkoani…
