Waziri Mavunde azindua rasmi shughuli za uchimbaji madini Chunya
Waziri wa Madini Anthony Mavunde amezindua rasmi shughuli za uchimbaji madini katika mgodi wa Porcupine North- uliopo Makongorosi Wilayani Chunya Mkoa wa Mbeya. Mgodi huo unaomilikiwa na Kampuni ya Shanta Gold Mining Limited umezinduliwa Aprili 03, 2025. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi Waziri Mavunde amesema kuwa hatua hiyo ni matunda ya uamuzi wa Serikali kurudisha…
