kkkk

Kilimo, uvuvi, ufugaji kuwekewa mkazo

Rais Samia Suluhu Hassan amesema serikali imeweka mkazo mkubwa katika sekta za kilimo, uvuvi na ufugaji kuanzaia mwaka wa fedha ujao. Akihutubia wananchi wa Mkoa wa Tabora Rais Samia alisisitiza kuwa sekta hizo zinawagusa wananchi moja kwa moja. Alisema kilimo cha maeneo makubwa kitasaidia kuondoa uhaba wa bidhaa mbalimbali kama mafuta ya kula na kumuagiza…

Soma Zaidi
nnnnn

Mteja ni mfalme: Waziri wa utalii

Serikali ya Tanzania imesema itaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wawekezaji wa sekta ya utalii pamoja na kuendelea kuboresha  huduma za kitalii. Huduma hizo ni pamoja na upatikanaji wa leseni ya shughuli za utalii kwa uharaka zaidi na mifumo ya malazi. Waziri wa Maliasili na Utalii Dk Damas Ndumbaro amesema hayo jijini Dares Salaam wakati akikabidhi vyeti kwa…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2022 03 03 at 1.56.32 PM

Tanzania: Tutaendelea kusimamia usawa, uwezeshaji wanawake

Tanzania imezihakikishia nchi za Umoja wa Afrika kuendelea kusimamia usawa wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake kiuchumi katika sekta mbalimbali na kuwawezesha kupata fursa katika sekta hizo. Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mwanaidi Ali Khamis ameeleza hayo mara baada ya kuwasili nchini akitikokea Ethiopia alikoshiriki Mkutano wa Sita wa…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks