Halmashauri zahamasishwa kutenga maeneo kwa ajili ya vijana
Halmashauri za Wilaya nchini zinahamasishwa kuendelea kutenga maeneo kwa ajili ya mashamba ya pamoja (Block Farm) kwa ajili ya kuwezesha vijana kufanya kilimo biashara kupitia Programu ya Building a Better Tomorrow (BBT). Wito huo umetolewa na Mhandisi Godwin Makori ambaye anaratibu na kusimamia kazi ya kuhakiki na kupima mashamba kwa ajili ya kuyaandalia hati miliki…
