Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia
Watanzania wametakiwa kujiandaa kuchangamkia fursa za masoko nchini Zambia kwa bidhaa za chakula hasa nafaka, nishati, uchukuzi, mavazi, vyombo vya nyumbani, vipodozi, vinywaji vikali na uwekezaji wa kibenki. Balozi wa Tanzania nchini Zambia Luteni Jenerali Mathew Edward Mkingule ameeleza hayo wakati wa Kikao cha Kwanza kwa njia ya mtandao cha maandalizi ya ziara inayoratibiwa na…
