WhatsApp Image 2023 03 10 at 14.43.55

Watanzania watakiwa kuchangamkia  fursa soko la Malawi

Mamlaka ya Maendeleo ya biashara Tanzania (TanTrade) 9Machi 2023 imeratibu mkutano Kwa njia ya Teknolojia ya Mtandao baina kwa kushirikiana na Ubalozi wa Tanzania nchini Malawi wenye lengo la kujadili fursa za kibiashara zilizopo kati ya Tanzania na nchi ya Malawi. Mkutano huo umeshirikisha Taasisi mbalimbali za serikali pamoja na Wafanyabiashara. Akizungumza katika mkutano huo,…

Soma Zaidi
ccc

Serikali yadhamiria kumaliza tatizo la mafuta

Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali imedhamiria kufanya mageuzi makubwa kumaliza tatizo la upatikanaji wa mafuta nchini. Waziri Mkuu amesema mageuzi hayo yatakwenda sambamba kwa kupanda miche mipya ikiwemo ya michikichi. Amesema hayo akiwa Mkoani Kigoma na kuwataka Wakuu wa Mikoa na Wilaya wenye ardhi inayokubali zao hilo wafanye hivyo mara moja kwani…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 02 23 at 15.14.40

Serikali inaendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji: Mwigulu

Serikali kwa kushirikiana na Washirika wa Maendeleo wamefanya majadiliano ya uboreshaji mazingira ya ufanyaji biashara na uwekezaji nchini illi kuwavutia wawekezaji. Hayo yamelezwa na Waziri wa Fedha na Mipango, Mwigulu Nchemba wakati akifungua Mkutano wa ngazi ya juu wa Majadiliano ya kimkakati kati ya Serikali na Washirika wa Maendeleo uliofanyika jijini Dar es Salaam. Serikali…

Soma Zaidi
sasaa

Wanawake watakiwa kupata elimu ya fedha kabla ya mikopo

Wanawake wametakiwa kuacha kukimbilia kukopa fedha kabla ya kuwa na elimu ya fedha. Kutokuwa na elimu ya fedha kunawasababisha kuishia kupata matatizo mbalimbali kutokana na madeni kwa kushindwa kulipa mikopo hiyo. Beng’i Issa ambae ni Katibu  Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi kiuchumi (NEEC), ameyasema hayo na kudai kuwa sekta  ya fedha imekuwa…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks