sawawa

Bei ya dizeli yazidi kupaa Tanzania

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), imetangaza bei mpya za mafuta zitakazoanza kutumika Oktoba 4, 2023 huku bei ya dizeli ikizidi kupaa ikilinganishwa na mwezi Septemba. Taarifa ya Ewura inasema kwa mkoa wa Dar es Salaam lita ya petrol kwa bei ya rejareja ni Sh3,281, dizeli Sh3,448 na mafuta ya taa…

Soma Zaidi
suluhu

Rais Samia atangaza mkakati bei ya mafuta

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassani ametangaza mkakati wa kubana matumizi ya Serikali katika bajeti ya matumizi ili kupata fedha za kupunguza makali ya ongezeko la bei ya mafuta nchini. Ongezeko hilo linalosababisha kuongezeka kwa bei za bidhaa na huduma mbalimbali. Katika taarifa ya Rais Samia kwa vyombo vya habari Mei 9, 2022 amesema Serikali…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks