Kama unafanya biashara ya miwani hii inakuhusu pesatu.com

Kama unafanya biashara ya miwani hii inakuhusu

Uuzaji wa miwani kiholela umeshamiri katika maeneo mengi nchini husasani mijini. Miwani hizo nyingi zikiwa ni zile zinazotajwa kuwa ni miwani za urembo. Mbali na kumsababishia madhara mtumiaji anayetumia miwani pasipo kuipima na kupima macho yake, pia mtu yeyote anayejihusisha na biashara ya miwani anatakiwa azingatie sheria ya Optometria sura namba 23 ikiwemo kusajiliwa katika…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 10 25 at 13.52.39

Vikwazo nane vyaondolewa Tanzania, Zambia, vyabaki 16

Tanzania na Zambia zimekubaliana kuendelea kuondoa vikwazo mbalimbali vya kikodi na visivyo vya kikodi ambapo mpaka sasa vikwazo nane vimeondolewa kati ya 24 vilivyoainishwa na serikali hizo mbili. Makubaliano hayo ni pamoja na kuondoa urasimu, kuweka mazingira rahisi ya ufanyaji biashara, kuitumia vyema miundombinu inayounganisha nchi hizo na kuruhusu muingiliano wa watu. Hayo yamejadiliwa mjini…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 10 11 at 16.01.32 1

Rais Samia akaribisha wawekezaji wa India

Rais Samia Suluhu Hassan amewakaribisha wawekezaji wa India kuja kuwekeza Tanzania akiahidi mazingira rafiki ya biashara na maendeleo ya uchumi. Mkuu huyo wa nchi, ameyasema hayo New Delhi wakati akizungumza na wawekezaji katika jukwaa la biashara na uwekezaji la Tanzania-India katika ziara yake ya siku tatu nchini India. Rais Samia amesema Tanzania inatekeleza maendeleo na…

Soma Zaidi
sawawa

Bei ya dizeli yazidi kupaa Tanzania

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), imetangaza bei mpya za mafuta zitakazoanza kutumika Oktoba 4, 2023 huku bei ya dizeli ikizidi kupaa ikilinganishwa na mwezi Septemba. Taarifa ya Ewura inasema kwa mkoa wa Dar es Salaam lita ya petrol kwa bei ya rejareja ni Sh3,281, dizeli Sh3,448 na mafuta ya taa…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 08 14 at 13.04.20

Maonesho ya chakula ya nchi za Asia kuunganishwa na nanenane

Serikali imewaalika waandaji wa Mkutano na Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo na Chakula (International Agri Food Conference and Exhibition) kujadiliana namna ya kurasimisha shughuli hizo ili ziendane na maonesho ya Kimataifa ya Kilimo Nanenane yanayofanyika nchini kila mwaka. Waziri wa Kilimo Hussein Bashe ameyasema hayo Agosti 2023, wakati wa ufunguzi rasmi wa maonesho hayo, jijini…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 06 05 at 13.13.06

Vikwazo 10 vya kibiashara vyaondolewa Afrika Mashariki

Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zimekubaliana kuondoa vikwazo kumi vya kibiashara visivyo vya kiforodha (NTBs). Vikwazo nane vikiendelea kushughulikiwa, na vikwazo vingine vipya vinne vimewasilishwa ili kuboresha mazingira ya uwekezaji na biashara baina ya nchi hizo. Vilevile, nchi hizo zimekubaliana kutoza kiwango cha dola 10 za kimarekani kwa kilomita 100 kwa ajili…

Soma Zaidi
mmm

Mbaazi za Tanzania zaondolewa ushuru India

Serikali ya India imeruhusu Tanzania kuingiza kiasi cha tani laki mbili (200,000) za mbaazi bila ushuru wa forodha (Free Import Regime) kuanzia sasa hadi Machi 2024. Taarifa ya Wizara ya Kilimo imewahimiza wadau wa kilimo wenye nia ya kuuza mbaazi nchini India kuzingatia viwango vya ubora viavyohitajika katika soko la India. “Mbaazi zitakazosafirishwa kwenda India…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks