Uchumi wa Tanzania Bara, Zanzibar unazidi kuimarika: BoT
Mwenendo wa uchumi wa Tanzania Bara na Zanzibar umeendelea kuwa imara mwaka 2024 na mfumuko wa bei umeendelea kuwa tulivu katika kipindi chote cha mwaka 2024, ukiwa chini ya lengo la asilimia 5 kwa Tanzania Bara kwa wastani wa asilimia 3 na kwa Zanzibar mfumuko wa bei ulipungua hadi asilimia 4.5 mwezi Novemba 2024. Gavana…
