WhatsApp Image 2023 06 19 at 15.21.41

Wakulima wapewa mafunzo sumukuvu

Wakulima wilayani Kiteto mkoa wa Manyara wamepewa mafunzo juu ya Sumukuvu na madhara yake. Mafunzo hayo, yametolewa na Wizara ya Kilimo kupitia Mradi wa Kudhibiti Sumukuvu Tanzania (TANIPAC). Elimu hiyo imetolewa kwa wahanga wa madhara ya sumukuvu ambapo imelenga uvunaji, ukaushaji na uhifadhi wa nafaka kwa kuzingatia kanuni bora za kilimo ili kuepusha chakula kisichafuliwe…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks