WhatsApp Image 2024 06 30 at 20.33.59

Tanzania yaja na mpango kuwawezesha waraibu wa dawa za kulevya kiuchumi

Serikali ya Tanzania inaanda mpango wa Kitaifa wa kuwawezesha kujikimu kiuchumi vijana wanaoachana na matumizi ya dawa za kulevya. Mpango huo, utawawezesha vijana hao kupata mitaji ambayo itawawezesha kushiriki kwenye shughuli za ujasiriamali ambazo zitawasaidia kukuza kipato chao. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameeleza hayo Juni 30, 2024 wakati akizungumza na wananchi na wadau mbalimbali walioshiriki…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 05 29 at 12.20.49

BoT, Citibank wajadili mikopo chechefu

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Emmanuel Tutuba, amekutana na Mkuu wa Kundi la Citibank Kusini mwa Jangwa la Sahara, Akin Dawodu jijini Dodoma kuzungumza masuala mbalimbali yanayohusu sekta ya fedha. Katika mazungumzo hayo yaliyofanyika Mei 28, 2024, Gavana Tutuba amesema utendaji wa Citibank umeonesha kuongezeka kwa faida na kupungua kwa kiasi kikubwa kwa…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks