sawaaa

Zaidi ya leseni 4,000 za madini kutolewa Mbogwe

Zaidi ya leseni 4,000 zipo katika utaratibu wa kutolewa katika maeneo manne ya Mkoa wa Kimadini Mbogwe mkoani Geita, huku wazawa na wawekezaji kutoka nje wakitakiwa kuchangamkia fursa zilizopo mkoani humo. Akizungumza katika mahojiano, Afisa Madini Mkazi wa Mbogwe, Mhandisi Jeremiah Hango amesema maeneo yaliyotengwa ni Nyamikonze ambapo leseni 81 ziliweza kugawiwa kwa wachimbaji wadogo,…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 02 17 at 4.14.35 PM

Serikali ya Tanzania yasema viwanda vinne vya uongezaji thamani madini kujengwa Dodoma

Waziri wa Madini Anthony Mavunde amesema, ujenzi wa Viwanda vinne vya uchenjuaji madini ya Shaba ikiwemo kiwanda cha Shengde Precious Metal Resources Co. Limited kinachoendelea kujengwa katika eneo la Mahungu Kata ya Nala Jijini Dodoma vinatarajiwa kuwa mkombozi wa wachimbaji wadogo wa Madini ya Shaba nchini. Waziri Mavunde amebainisha hayo Februari 16, 2025 baada ya…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 02 17 at 11.49.58 AM

Mgodi wa Buzwagi Kahama kufungwa, kusitisha uzalishaji wa madini ya dhahabu

Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa, amesisitiza kuwa ufungaji wa mgodi wa Buzwagi hautaathiri shughuli za kiuchumi katika Wilaya ya Kahama, kwani mipango madhubuti imewekwa kuhakikisha kuwa eneo hilo linaendelea kuwa na mchango mkubwa katika uchumi wa taifa kupitia miradi mipya ya uwekezaji na maendeleo. Amesema hayo Februari 16, 2025 Kahama Mkoani Shinyanga wakati…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 01 09 at 3.05.15 PM

Kampuni za Japan zakaribishwa Tanzania

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa wito kwa Kampuni za Japan kuwekeza nchini Tanzania ili kutumia fursa zilizopo katika sekta mbalimbali za uzalishaji kwa faida ya pande zote mbili. Dkt. Nchemba ametoa rai hiyo Jijini Dodoma wakati akiagana na Balozi wa Japan nchini Tanzania aliyemaliza muda wake, Yasushi Misawa ambapo pamoja na mambo mengine…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 01 06 at 4.26.43 PM

Waziri ataka wawekezaji walindwe

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Prof Kitila Mkumbo ametoa maagizo kwa Kituo cha uwekezaji Tanzania (TIC) kuwalinda wawekezaji hususani wa ndani ya nchi ili wasikwame katika suala la uwekezaji huku akiwaasa pia kuwawezesha pale panapostahili ili kukuza sekta ya uwekezaji nchini. Prof Mkumbo ametoa maagizo hayo Januari 5, 2025 wakati alipotembelea…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks