mkoo

Naibu Waziri atamani kilimo kiwanufaishe wakulima

Naibu Waziri wa Kilimo Anthony Mavunde amefanya ziara ya kikazi mkoani Tanga ambapo amezungumza Menejimenti ya Bodi ya Mkonge Tanzania baada ya kukagua ukarabati wa jengo la ofisi ya Bodi hiyo. “Natamani kuwaona wakulima nchini wakinufaika kwa kazi wanayoifanya”, amesema Naibu Waziri. Mavunde amesema Serikali ina malengo ya kukuza uchumi wa kaya na uchumi wa…

Soma Zaidi
anaa

Vijana 470 waitwa uhamiaji

Vijana 470 wamechaguliwa kujiunga na Idara ya Uhamiaji kwa nafasi ya konstebo. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Jumamosi Februari 12, 2022 na Msemaji Mkuu wa Idara ya Uhamiaji, Mrajibu Paul Msele imesema vijana waliochaguliwa kujiunga wanatakiwa waripoti katika chuo cha uhamiaji kilichopo Boma Kichakamiba Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga, Februari 19, 2022. Idara ya uhamiaji…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2022 02 04 at 2.36.32 PM

Waziri ataja sababu daraja la Tanzanite kutumika bure

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amesema daraja la Tanzanite Watanzania hawalipi na hawatalipa kwa sababu limejengwa kwa 100% kwa pesa ya serikali. Waziri Mbarawa amebainisha kuwa fedha hizo ni mkopo wa masharti nafuu kutoka Korea Kusini ambazo zitalipwa na Serikali ya Tanzania kwa asilimia zote. “Daraja la Kigamboni utaratibu uliotumika ni tofauti,…

Soma Zaidi
tt

Daraja la Tanzanite kuanza kutumika February Mosi

Daraja la Tanzanite(Salenda) limekamilika kwa asilimia 100 na litaanza kutumika rasmi kesho February Mosi, 2022. Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa amesema daraja hilo lenye urefu wa km 1.03 limegharimu kiasi cha Sh bilioni 243. Amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha kuwa Tanzania inafunguka kwenye sekta ya miundombinu ili wananchi waweze kufanya…

Soma Zaidi
tt

TANESCO yatangaza mgao wa umeme

Shirika la Umeme nchini (TANESCO) limetangaza rasmi kuanza mgao wa umeme wa siku 10 nchi nzima kuruhusu matengenezo ya mitambo ya kufua umeme kote nchini. Maharage Chande, Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco leo Ijumaa Januari 28, 2022 amesema mgao huo utaanza Februari Mosi hadi Februari 10 mwaka huu. TANESCO inaendelea na maboresho kwenye vituo vyake vya…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2022 01 27 at 18.03.45

Hongera Rais Samia

Leo Januari 27, 2022 ni kumbukizi ya siku ya kuzaliwa ya Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Watu mbalimbali, taasisi zilizo za serikali na za binafsi wamemtakia kheri Rais Samia. Ama kwa hakika salamu katika siku yake hii muhimu sio haba. Rais Samia leo ametimiza umri wa miaka 62, amesema yeye…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks